Wasomi, wasanii na wafanya-biashara wa Somalia
wamekuwa wakizungumza katika mji mkuu, Mogadishu, kwenye ile mikutano
inayofanywa sehemu mbali-mbali za dunia iitwayo TED-EX.
Mazungumzo hayo yaliyofanywa kwenye ukumbi wa
mikutano chini ya ulinzi mkubwa, yalihusu mapendekezo na ubunifu wa
kuijenga tena Somalia.Hotuba katika vikao vya TED-EX zimetolewa katika nchi zaidi ya 150.
No comments:
Post a Comment